Posts

AKAMATWA KITUO CHA POLISI AKISHUKIWA KUWA NA VIUNGO VYA BINADAMU

Na.Mwandishi -SINGIDA Jeshi lapolisi Mkoani Singida linamshikilia mtu mmoja anayefahamika wa jian la Magida Bundala   (30) Mkazi wa Mkoani humo wa kwa tuhuma za kukutwa   na mafuvu na viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu pamoja na nyara za serikali kinyume na sheria.

SIKUKUU YA EID KATAVI IBADA KUFANYIKA VIWANJA VYA SHULE YA MSINGI AZIMIO

Image
  Maandalizi yaibada ya hija Na.Issack Gerald-MPANDA WAUMINI wa dini ya kiislamu duniani kote leo wanasherehekea sikukuu ya Idd El Hajj baada ya kukamilika kwa ibada ya Hija.

RPC KATAVI KUHITISHA KIKAO CHA KUJADILI AMANI KESHO KIKISHIRIKISHA WAZEE MAARUFU

Na.Issack Gerald-KATAVI JESHI la polisi Mkoani Katavi kesho linatarajia kuwa na kikao maalumu cha kujadili mikakati ya kuimarisha amani na usalama wa nchi.

MWANAMKE AKAMATWA NSIMBO AKIANDIKA MAJINA NA NAMBA ZA VIPARATA

Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la SALOME MAKALA, miaka 56, mkulima, mnyamwezi mkazi wa Mwenge Kitongoji cha Legezamwendo septemba 21 siku ya Jumatatu majira ya saa 4:00 kamili usiku alikamatwa akiwa anaorodhesha majina ya wanakijiji wa kijiji cha Mwenge Kata ya Nsimbo Wilayani Mlele Mkoa wa Katavi kwenye daftari kwa kuandika majina yao na namba za vipalata vyao (kadi ya mpigakura).

UKATA WA PESA TANAPA KATAVI CHANZO CHA KUSHINDWA KUANDAA MAADHIMISHO SIKU YA TEMBO KIMKOA

NA.Issack Gerald-Katavi Uongozi wa hifadhi ya taifa ya wanyama ya Katavi umeshindwa kuandaa maadhimisho ya siku ya tembo kutokana na ukata wa kifedha ulipo katika shirika hilo mkoani hapa.

TWAWEZA WATANGAZA MATOTKEO YA UTAFITI CCM YAONGOZA,WAKAZI KATAVI WAONYA

Image
  Baadhi ya wakazi katika Picha wakijadili matokeo yaliyotangazwa na Taasisi ya twaweza jana Jijini Dar es Salaam Issack Gerald-Katavi Baadhi ya wakazi Mkoani Katavi wameitaka tume ya uchaguzi na tume ya haki za binadamu kufanya uchunguzi na kutorusu utafiti wa kutangaza matokeo kabla ya uchaguzi kufanyika.

UHABA WA MAJI ZAIDI YA WAKAZI 750 WAATHIRIKA

Issack Gerald-Katavi ZAIDI YA WAKAZI 750 waishio mtaa wa Kampuni kata ya Misunkumilo wanakabiliwa na   ukosefu wa   maji safi na salama hali inayosababisha kutumia muda mwingi kutafuta maji kuliko kufanya shughuli nyingine za maendeleo.