Posts

MWANAMKE AKAMATWA NSIMBO AKIANDIKA MAJINA NA NAMBA ZA VIPARATA

Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la SALOME MAKALA, miaka 56, mkulima, mnyamwezi mkazi wa Mwenge Kitongoji cha Legezamwendo septemba 21 siku ya Jumatatu majira ya saa 4:00 kamili usiku alikamatwa akiwa anaorodhesha majina ya wanakijiji wa kijiji cha Mwenge Kata ya Nsimbo Wilayani Mlele Mkoa wa Katavi kwenye daftari kwa kuandika majina yao na namba za vipalata vyao (kadi ya mpigakura).

UKATA WA PESA TANAPA KATAVI CHANZO CHA KUSHINDWA KUANDAA MAADHIMISHO SIKU YA TEMBO KIMKOA

NA.Issack Gerald-Katavi Uongozi wa hifadhi ya taifa ya wanyama ya Katavi umeshindwa kuandaa maadhimisho ya siku ya tembo kutokana na ukata wa kifedha ulipo katika shirika hilo mkoani hapa.

TWAWEZA WATANGAZA MATOTKEO YA UTAFITI CCM YAONGOZA,WAKAZI KATAVI WAONYA

Image
  Baadhi ya wakazi katika Picha wakijadili matokeo yaliyotangazwa na Taasisi ya twaweza jana Jijini Dar es Salaam Issack Gerald-Katavi Baadhi ya wakazi Mkoani Katavi wameitaka tume ya uchaguzi na tume ya haki za binadamu kufanya uchunguzi na kutorusu utafiti wa kutangaza matokeo kabla ya uchaguzi kufanyika.

UHABA WA MAJI ZAIDI YA WAKAZI 750 WAATHIRIKA

Issack Gerald-Katavi ZAIDI YA WAKAZI 750 waishio mtaa wa Kampuni kata ya Misunkumilo wanakabiliwa na   ukosefu wa   maji safi na salama hali inayosababisha kutumia muda mwingi kutafuta maji kuliko kufanya shughuli nyingine za maendeleo.

ZAIDI YA SILAHA 17 ZAKAMATWA,WATUHUMIWA WANNE WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Issack Gerald-Katavi Zaidi ya silaha 17 zimekamatwa na kusalimishwa kwa jeshi la polisi Mkoani Katavi huku watu wanne wakifikishwa Mahakamani kwa kipindi cha mwezi Juni hadi Septemba Mwaka huu.

KATAVI KUFANYA MKUTANO WA MAZINGIRA WIKI IJAYO

Issack Gerald-MPANDA . MKOA Wa Katavi unatarajia kufanya Mkutano na wadau wa mazingira   ili kutafuta suluhisho la kukabiliana na uhalibifu wa   Mazingira uliokithiri Katika   maeneo mbalimbali Mkoani hapa.

MWANAUME MMOJA AKUTWA AKIWA AMEKUFA WILAYANI MLELE

Issack Gerald-KATAVI MTU Mmoja jinsia ya Kiume ambae hakutambulika jina wala umri wake ameuwawa   kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali katika kijiji cha tumaini kata ya Itenka Wilayani Mlele.