Posts

UHABA WA MAJI ZAIDI YA WAKAZI 750 WAATHIRIKA

Issack Gerald-Katavi ZAIDI YA WAKAZI 750 waishio mtaa wa Kampuni kata ya Misunkumilo wanakabiliwa na   ukosefu wa   maji safi na salama hali inayosababisha kutumia muda mwingi kutafuta maji kuliko kufanya shughuli nyingine za maendeleo.

ZAIDI YA SILAHA 17 ZAKAMATWA,WATUHUMIWA WANNE WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Issack Gerald-Katavi Zaidi ya silaha 17 zimekamatwa na kusalimishwa kwa jeshi la polisi Mkoani Katavi huku watu wanne wakifikishwa Mahakamani kwa kipindi cha mwezi Juni hadi Septemba Mwaka huu.

KATAVI KUFANYA MKUTANO WA MAZINGIRA WIKI IJAYO

Issack Gerald-MPANDA . MKOA Wa Katavi unatarajia kufanya Mkutano na wadau wa mazingira   ili kutafuta suluhisho la kukabiliana na uhalibifu wa   Mazingira uliokithiri Katika   maeneo mbalimbali Mkoani hapa.

MWANAUME MMOJA AKUTWA AKIWA AMEKUFA WILAYANI MLELE

Issack Gerald-KATAVI MTU Mmoja jinsia ya Kiume ambae hakutambulika jina wala umri wake ameuwawa   kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali katika kijiji cha tumaini kata ya Itenka Wilayani Mlele.

WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA SIKU YA DEMOKRASIA DUNIANI KATIKA MAMBO YENYE TIJA KWA WATANZANIA

NA.Issack Gerald-MPANDA Watanzania wameshauliwa kutumia maadhimisho ya siku ya demokrasia duniani kufanya mambo yenye tija   kwa umma wa watanzania.

PICHA ZA MACHINJIO YA MPANDA HOTEL YALIYOKUWA YAMEZUIWA MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVI

Image
Moja ya bucha manispaa ya Mpanda Watu wakijipatia kitoweo baada  ya machnjio kufunguliwa jana Benezeti Kusaya mwenyekiti wa wafanyakazi machinjioni Jengo la machinjio Mpanda Nembo ya mamlaka ya chakula na dawa Tanzania TFDA iliyokuwa imebandikwa katika kuta za machinjio baada ya machinjio hayo kufungwa Mazingira ya machinjio Sehemu wanakopanga nyama asubuhi Vijana baada ya kikao cha kuhamasisha usafi machinjioni Shimo la kutunza uchafu machinjioni lililokuwa limejaa na kuanza kutiririsha uchafu mtoni

SERIKALI YASHAULIWA KUWEKA ULINZI VITUO VYA AFYA

NA.Issack Gerald-MPANDA. SERIKALI imeshauriwa kuweka ulinzi wa uhakika katika vituo vya afya    hasa katika   maeneo ya vijijini sambamba na kujenga nyumba za watumishi wanaotoa huduma katika Vituo hivyo.