Posts

WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA SIKU YA DEMOKRASIA DUNIANI KATIKA MAMBO YENYE TIJA KWA WATANZANIA

NA.Issack Gerald-MPANDA Watanzania wameshauliwa kutumia maadhimisho ya siku ya demokrasia duniani kufanya mambo yenye tija   kwa umma wa watanzania.

PICHA ZA MACHINJIO YA MPANDA HOTEL YALIYOKUWA YAMEZUIWA MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVI

Image
Moja ya bucha manispaa ya Mpanda Watu wakijipatia kitoweo baada  ya machnjio kufunguliwa jana Benezeti Kusaya mwenyekiti wa wafanyakazi machinjioni Jengo la machinjio Mpanda Nembo ya mamlaka ya chakula na dawa Tanzania TFDA iliyokuwa imebandikwa katika kuta za machinjio baada ya machinjio hayo kufungwa Mazingira ya machinjio Sehemu wanakopanga nyama asubuhi Vijana baada ya kikao cha kuhamasisha usafi machinjioni Shimo la kutunza uchafu machinjioni lililokuwa limejaa na kuanza kutiririsha uchafu mtoni

SERIKALI YASHAULIWA KUWEKA ULINZI VITUO VYA AFYA

NA.Issack Gerald-MPANDA. SERIKALI imeshauriwa kuweka ulinzi wa uhakika katika vituo vya afya    hasa katika   maeneo ya vijijini sambamba na kujenga nyumba za watumishi wanaotoa huduma katika Vituo hivyo.

CWT KATAVI KUDAI ZAIDI YA MIL..379

Na.Issack Gerald-KATAVI HALMASHAURI Za Wilaya ya Mpanda,Nsimbo na Manispaa ya Mpanda zimetakiwa kulipa madeni yanayodaiwa na walimu wa shule za Msingi na Sekondari Mkoani hapa.

MACHINJIO YA WANYAMA MPANDA YAFUNGULIWA

Image
  Moja ya bucha Manispaa ya Mpanda Rikiuza nyama baada ya machinjio kufunguliwa jana Nembo ya Mamlaka ya chakula na dawa iliyokuwa imewekwa baadaya kufungwa kwa machinjio wiki iliyopita Watu wakipata kitoweo machinjioni leo Mwenyekiti wa wafanyakazi wa machinjio ya Mpanda Hoteli Bw.Benezeti Kusaya akizungmza katika kikao ambacho kimefanyika leo na vijana wanaotegemea ajira ya machinjio akihamasisha zaidi kufanyika usafi mara kwa mara NA.Issack Gerald- MPANDA Machinjio ya wanyama yaliyopo kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda yaliyokuwa yamefungwa na Mamlaka ya chakula na dawa Tanzania TFDA kutokana na uwepo wa   uchafu na miundombinu mibovu katika machinjio hayo yamefunguliwa.

WANAFUNZI WATAKA AHADI YA ELIMU BURE ITEKELEZWE

Na.Issack Gerald-Mpanda BAADHI ya wanafunzi wa darasa la saba wanaohitimu elimu ya msingi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wamewataka wagombea wa nafasi mbalimbali  za uongozi watakaoshinda katika uchaguzi wa mwezi Oktoba kuhakikisha wanatekeleza ahadi ya kutoa elimu bure. Kauli hiyo imetolewa leo na wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi zilizopo katika Manispaa ya Mpanda ikiwemo shule ya Msingi Kashato. Wakati huo huo Msimamizi mkuu wa mitihani katika shule ya Msingi Kashato mwalimu Sekela Mayeji, amesema Jumla ya wanafunzi 108 wamefanya mtihani katika hali ya  utulivu. Katika mtihani huo Jumla ya wanafunzi wapatao laki saba kote nchini wanatarajia kumaliza mitihani ya kuhitimu darasa la saba leo. 

UKAWA WAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI

Image
Na. mwandishi wetu DAR ES SALAAM. MGOMBEA Uraisi kupitia umoja wa Katiba ya wananchi Ukawa Mh: Edward Lowasa amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza nchi ataipa kipaumbele elimu, Pamoja na afya.