Posts

JESHI LA POLISI KATAVI LASISITIZA KUTUNZA SIRI ZA RAIA WEMA KUPAMBANA NA UHARIFU

Na.Issack Gerald-KATAVI JESHI la Polisi Mkoani Katavi limesema linaendelea na utaratibu wa kutunza siri za raia wema wanaoshirikiana na Polisi kuwafichua waharifu wanaopelekea kusababisha madhara kwa wananchi.

20,162 KATI YA 22,596 WAJIANDIKISHA DAFTARI LA MPIGA KURA MAKAZI MAPYA YA KATUMBA

Image
  Wakazi wakijiandikisha katika daftari mpiga kura NA . Agness Mnubi-Nsimbo WANANCHI 20,162 kati ya 22,596 sawa na asilimia 89 ya wakazi wapya, Wilayani Nsimbo Mkoani Katavi wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura.

CHAMA CHA MADEREVA WAFANYAKAZI TANZANIA (TADWU) KUTOA TAMKO LEO KUHUSU MADEREVA NA WAAJIRI WAO

Image
CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.

MAJAMBAZI YAPORA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI SABA,YAJERUHI PIA

Na.Issack Gerald-KATAVI Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu wanne Wilayani Mpanda kwa tuhuma za kujeruhi na kupora kiasi cha shilingi milioni saba.

SERIKALI,JAMII WAOMBWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA

NA.Issack Gerald-NSIMBO Serikali na Jamii kwa ujumla Mkoani Katavi imeombwa   kutoa misaada kwa watoto yatima na watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

YASIKUPITE,MATUKIO WIKI HII KATAVI KATIKA SIASA,UCHUMI,MAKUNDI MAALUMU

SUALA LA SIASA Na.Issack Gerald-Katavi WAGOMBEA wa nafasi mbalimbali za uongozi Mkoani Katavi  wameaswa kuacha kutoa rushwa ili kujipatia ushindi katika uchaguzi ujao.

IGP MANGU AHIMIZA AMANI KATAVI

NA.Issack Gerald-Katavi MKUU wa jeshi la polisi nchini Inspekta jenerali Ernest Mangu, amesema kila mtu atimize wajibu wake ili kuhakikisha uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu, unafanyika kwa amani na utulivu.