Posts

WATUMISHI WA UMMA MPANDA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA SIASA WAKATI WA KAZI

Image
Watumishi wa umma wakiwa katika Ukumbi wa shule ya Sekondari St.Mary's Mpanda katika semina iliyoendeshwa na Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Mpanda Vicenti Kayombo Watumishi mbalimbali katika manispaa ya Mpandaa katika Semian ukumbi wa Shule ya Sekondari St.Mary's Manispaa ya Mpanda katika kikao cha utum,ishi wa umma kikendeshwa Kaimu Mkurugenzi Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda Vicenti Kayombo Na. Mark Ngumba-MPANDA WATUMISHI Wa Umma wametakiwa Kutojihusisha na Maswala ya Siasa wakati wa Kazi na badala yake wahakikishe wanatimiza wajibu wao wa  Kuwahudumia wananchi Katika Maeneo yao ya Kazi.

JESHI LA POLISI KATAVI LAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU BVR

Na.Mark Ngumba-MPANDA JESHI La polisi Mkoani Katavi limewataka wananchi Kuwa Makini na Ujumbe unaosambazwa  Katika Mitandao  ya Simu kwa Madai ya Kuhakiki taarifa za watu waliojiandikisha Kupiga kura Kwa Kutumia mashine za Kimtandao BVR.

OFISI ZA MFUKO WA BIMA YA AFYA NHIF ZAFUNGULIWA KATAVI

Image
  Na.Issack Gerald-Katavi Wanachama wa Mfuko wa hifadhi ya afya ya jamii NHIF  Mkoani Katavi wanatarajia kunufaika na  huduma hiyo itakayo kuwa ikitolewa Mkoani hapa badala ya Sumbawanga Mkoani Rukwa kama  ilivyokuwa awali.

JARIBIO LA KUUA KWA IMANI ZA USHIRIKINA WATU SITA WASHIKILIWA

 Na.Issack Gerald-Katavi Watu sita wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Katavi kwa tuhuma za kutaka kuvamia na kufanya mauaji ya watu wanaodhaniwa kuwa ni wachawi.

UWT KATAVI WAFANYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU

Na.Issack Gerald-Katavi MKUTANO Wa umoja wa wanawake wa CCM (UWT)Mkoani Katavi   umewateua Taska Restituta Mbogo na Anna Richad Lupembe   kuwa Wagombea wa nafasi ya Ubunge Vitimaalum kwa Mkoa wa Katavi.

MTOTO ATUPWA NA KUCHOMWA MOTO- KATAVI

NA.Meshack Ngumba-Mpanda MTOTO anayekadiliwa kuwa na umri wa Miezi 6 hadi 7 ametupwa na Kisha kuchomwa  moto Usiku wa Kuamkia Leo  Katika Mtaa wa Maridadi Kata ya kashaulili Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi.

SAKATA LA WATU KULA VYAKULA WAKIWA KWENYE VYANDARUA,MKURUGENZI MANISPAA YA MPANDA ANG'AKA WAKAZI KUTUPA TAKA SEHEMU ZILIZOZUIWA

Na.Issack Gerald-Katavi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda Suleiman Lukanga amesema eneo linalolalamikiwa na wakazi wa Mtaa wa Kashaulili kutumika kama Dampo la kutupa taka na kusababisha Nzi kuzagaa katika makazi yao lilishapigwa marufuku.