Posts

JARIBIO LA KUUA KWA IMANI ZA USHIRIKINA WATU SITA WASHIKILIWA

 Na.Issack Gerald-Katavi Watu sita wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Katavi kwa tuhuma za kutaka kuvamia na kufanya mauaji ya watu wanaodhaniwa kuwa ni wachawi.

UWT KATAVI WAFANYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU

Na.Issack Gerald-Katavi MKUTANO Wa umoja wa wanawake wa CCM (UWT)Mkoani Katavi   umewateua Taska Restituta Mbogo na Anna Richad Lupembe   kuwa Wagombea wa nafasi ya Ubunge Vitimaalum kwa Mkoa wa Katavi.

MTOTO ATUPWA NA KUCHOMWA MOTO- KATAVI

NA.Meshack Ngumba-Mpanda MTOTO anayekadiliwa kuwa na umri wa Miezi 6 hadi 7 ametupwa na Kisha kuchomwa  moto Usiku wa Kuamkia Leo  Katika Mtaa wa Maridadi Kata ya kashaulili Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi.

SAKATA LA WATU KULA VYAKULA WAKIWA KWENYE VYANDARUA,MKURUGENZI MANISPAA YA MPANDA ANG'AKA WAKAZI KUTUPA TAKA SEHEMU ZILIZOZUIWA

Na.Issack Gerald-Katavi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda Suleiman Lukanga amesema eneo linalolalamikiwa na wakazi wa Mtaa wa Kashaulili kutumika kama Dampo la kutupa taka na kusababisha Nzi kuzagaa katika makazi yao lilishapigwa marufuku.

MWENYEKITI WA MTAA MANISPAA YA MPANDA AZUSHIWA KUJIDHURU,MTUHUMIWA AKANA KUHUSIKA

 NA.Issack Gerald-Katavi Mwenyekiti wa Mtaa wa Kachoma uliopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Mwarabu Kestokecha amewalalamimkia baadhi ya watu akiwemo aliyekuwa diwani wa kata ya Makanyagio katika Manispaa hiyo Iddi Nziguye kwa kusambaza taarifa za kupotosha wananchi kuwa amejiudhuru uenyekiti wa mtaa huo.

WALAZIMIKA KULA VYAKULA WAKIWA NDANI YA NETI WAKIWAKIMBIA NZI

Image
Moja ya madampo ya taka yanayotoa taka Mpanda mtaa wa Kashaulili NA.Meshack Ngumba-Katavi WAKAZI wa Mtaa wa Kashaulili  Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi hulazimika Kula chakula wakiwa ndani ya Neti kutokana na eneo hilo kuwa na inzi wengi.

MPANDA GIZA NENE SUAL LA UMEME,TANESCO YASEMA UMEME KUTENGAMAA MIEZI MITATU IJAYO

Image
  Mafundi wakiwa katika matengenezo ya mitambo ya Tanesco Mpanda  NA.Issack Gerald-Mpanda Katavi SHUGHULI Za Uchumi Mkoani Katavi zimesimama kwa siku sita sasa Kutokana na Kukosekana kwa nishati ya Umeme.