Posts

MPANDA GIZA NENE SUAL LA UMEME,TANESCO YASEMA UMEME KUTENGAMAA MIEZI MITATU IJAYO

Image
  Mafundi wakiwa katika matengenezo ya mitambo ya Tanesco Mpanda  NA.Issack Gerald-Mpanda Katavi SHUGHULI Za Uchumi Mkoani Katavi zimesimama kwa siku sita sasa Kutokana na Kukosekana kwa nishati ya Umeme.

KATAVI KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI KATIKA MIPAKA YAKE YA UTAWALA

Na.Issack Gerald-Katvi SERIKALI Mkoani Katavi imedhamilia Kumaliza Migogoro ya Aridhi kwa Kuweka utaratibu Utakaoishirikisha Jamii ambayo ndiyo huathiriwa Zaidi na Migogoro hiyo pale inapokuwa imetokea.

WAZIRI MKUU PINDA AKATAA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATAVI,AWAACHIA WENGINE KUCHUKUA JIMBO HILO

Image
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda NA.Issack Gerald-Mlele Katavi WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amekataa ombi la wananchi wa jimbo lake la uchaguzi la kumtaka agombee tena ubunge katika jimbo hilo ili kuendeleza mipango mbalimbali ya maendeleo aliyoianzisha.

KATIBU MWENEZI CHADEMA RUKWA NA KATAVI AHAMIA CCM

NA.Issack Gerald-Katavi Aliyekuwa Katibu mwenezi kupitia chama cha Demkrasia na Maendeleo Mikoa ya Rukwa na Katavi John Matongo ametangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho na kujiunga na Chama cha Mpainduzi CCM.

WATOTO KATAVI WATAKIWA KULELEWA MAADILI YA KUITUMIKIA TANZANIA

Image
Waislam katika sgerehe za Eid Elfitri Mjini Mpanda Wa nne kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi akishiriki Ibada ya Eid Elfitri Msikiti Mkuu wa Ijumaa Mjini Mpanda NA.Issack Gerald-Katavi Jamii Mkoani Katavi imetakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwatumikia watanzania katika utumishi wa umma wanapokuwa wakubwa.

MIL.40 KUOKOA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI IGALULA WANAOSOMEA NJE WILAYANI MPANDA

Image
Wanafunzi Shule ya Msibgi Igalula chini ya Mti wakitumia mti huo kama darasa Juma Khatibu Chum akizindua vyumba vya madarasa Shule ya Msini Igalula ilyopo Wilayani Mpanda Wanafunzi wa Chekechea Igalula Wilayani Mpanda wakiwa darasani NA.Theressia Lwanji- Katavi Ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Igalula unatarajia kupunguza adha ya uhaba wa madarasa katika shule hiyo na kuondoa adha hiyo inayowapata wanafunzi shuleni hapo.

JESHI LA POLISI KATAVI LAWAONYA WATAKAOSABABISHA UVUNJFU WA AMANI SHEREHE ZA EID EL FITR

Image
Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Dhahir Athman Kidavashari akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) akizungumzia suala la kudumisha amani Mkoani Katavi  JESHI La Polisi Mkoani Katavi limetoa tahadhari kwa watu kutojihusisha na Vitendo vya Uvunjifu wa amani wakati wa Sherehe za Eid el Fitr inayoadhimishwa leo hapa nchini Tanzania.