Posts

MIL.40 KUOKOA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI IGALULA WANAOSOMEA NJE WILAYANI MPANDA

Image
Wanafunzi Shule ya Msibgi Igalula chini ya Mti wakitumia mti huo kama darasa Juma Khatibu Chum akizindua vyumba vya madarasa Shule ya Msini Igalula ilyopo Wilayani Mpanda Wanafunzi wa Chekechea Igalula Wilayani Mpanda wakiwa darasani NA.Theressia Lwanji- Katavi Ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Igalula unatarajia kupunguza adha ya uhaba wa madarasa katika shule hiyo na kuondoa adha hiyo inayowapata wanafunzi shuleni hapo.

JESHI LA POLISI KATAVI LAWAONYA WATAKAOSABABISHA UVUNJFU WA AMANI SHEREHE ZA EID EL FITR

Image
Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Dhahir Athman Kidavashari akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) akizungumzia suala la kudumisha amani Mkoani Katavi  JESHI La Polisi Mkoani Katavi limetoa tahadhari kwa watu kutojihusisha na Vitendo vya Uvunjifu wa amani wakati wa Sherehe za Eid el Fitr inayoadhimishwa leo hapa nchini Tanzania.

YATIMA MPANDA WAPATA MSAADA,CHANGAMOTO YA FEDHA HALMSHAURI YA WILAYA YASEMA BADO KIKWAZO KUWASAIDIA YATIMA WENGI

Image
Baadhi ya watoto katika picha ambao wamepatiwa msaada Yatima wakisalimiwa na kupew zawadi ndogondogo NA.Theressia Lwaji-MPANDA KATAVI WATOTO yatima 12 kati 32  katika kijiji cha ifukutwa kata ya mpanda ndogo wa halmashauri ya wilaya ya mpanda mkoani katavi  wamepatiwa misaada ya magodoro,vyandarua na blanket.

JAMII HALMSHAURI YA WILAYA NSIMBO YATAKIWA KUWA KARIBU NA WATOTO KATIKA MALEZI

Image
Baadhi ya viongozi katika Msafara wa mwenge wa Uhuru  wakizuru mandari ya Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo wakati mwenge wa uhuru ulipofika katika halmshauri hiyo NA.Issack Gerald-Nsimbo Katavi Jamii katika Halmashauri ya Wilaya  ya  Nsimbo Mkoani Katavi imetakiwa kuwa na ukaribu kimalezi kwa  watoto wao ili kubaini kwa haraka vitendo vya ukatili wakati vinapotokea kwa watoto.

MGOMO DARADARA MPANDA NAULI KUPUNGUZWA,SUMATRA YASEMA WASIOTAKA NAULI ILIYOPANGWA NA SUMATRA WAPAKI MAGARI

Image
Baadhi ya daradara mjini Mpanda zikiwa zimepaki baada ya madereva  kusitisha safari  Na.Issack Gerald-Katavi Madereva wa daradara zinazosafirisha abiria kutoka Mpanda Mjini kuelekea kata ya Kakese leo wamegoma na kumlalamikia Meneja wa mamlaka ya uasafiri wa majini na nchi kavu Sumatra Mkoani Katavi kwa kushusha viwango vya nauli.

KIONGOZI MBIO ZA MWENGE MPANDA - ACHENI KUTOA NA KUPOKEA RUSHWA KUPATA VIONGOZI BORA

Image
Na.Issack Gerald-Katavi JAMII mkoani Katavi imetakiwa kuwafichua wagombea wanaotoa rushwa kupata uongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika oktoba mwaka huu, ili wapatikane viongozi bora watakaojali maslahi yao.

MKUU WA MKOA WA KATAVI AFUTURISHA,MAMIA KADA MBALIMBALI ALIOWAARIKA WAHUDHURIA AWAASA KUDUMISHA AMANI

Image
Mkuu wa Mkoa akizungumza na kada mbalimbali aliowaarika kushiriki kwa pamoja katika Ikulu ndogo Mjini Mpanda Mkuu wa Mkoa katikakti wakifuturu Mkuu wa Mkoa wa Katavi wa NNE kutoka kulia katika picha wakiswali  Na.Issack Gerald-Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Dk. Ibrahim Hamisi Msengi amesisitiza kuwepo kwa amani, upendo na ushirikiano na kusema kuwa  ni fursa nzuri kwa watu kufanya shughuli za maendeleo.