KIM JONG-UN AMUALIKA RAIS WA KOREA KUSINI
Kiongozi wa taifa la Korea Kaskazini Kim Jong un amemualika rais wa Korea Kusini Moon Jae-in kuzuru Pyongyang ambapo Utakuwa mkutano wa kwanza katika kipindi cha zaidi ya muongo mmoja kati ya viongozi hao wa Korea. Rais Kim Jong Un wa Korea Kaskazini Bw.Moon amesema Korea ni muhimu kuhakikisha mkutano huo unafanyika huku akiitaka Korea Ksakzini kurudi katika meza ya mazungumzo na Marekani. Mualiko huo ulioandikwa ulikabidhiwa kwa rais wa Korea Kusini na dadake rais Kim Jong un,Kim Yo Jong ambapo Katika mkutano wa kihistoria uliofanyika katika jumba la rais kabla ya kuanza kwa michezo hiyo ya msimu wa baridi. Bi.Kim na kiongozi wa kisherehe wa taifa la Korea Kaskazini Kim Yong-nam ndio viongozi wa ngazi za juu kutoka Kaskazini kuzuru kusini tangu vita vya Korea 1950. Rais Donald Trump na mwenzake wa Korea Kusini Kim Jae-in Wakati huohuo Rais wa Korea ya Kusini Moon Jae amekuwa ni mwenye shughuli nyingi za kupokea ujumbe wa ngazi ya juu katika ikulu yake ya mjini Seoul...