Posts

SERIKALI KUMALIZA KERO ZOTE ZA MAJI-WAZIRI MKUU-Septemba 21,2017

Image
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kumaliza tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama pamoja na huduma ya umeme katika maeneo mbalimbali nchini zikiwemo wilaya za Chemba na Kondoa mkoani Dodoma.

WAKAZI KATAVI WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA TAKA KATIKA MAKAZI YAO-Septemba 21,2017

WAKAZI wa kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda wamelalamikia uwepo wa taka katika makazi yao kwa muda mrefu hali inayosababisha kuhofia magonjwa ya mlipuko.

KIWANDA CHAKOSA CHOO,WANANCHI WAKERWA NA HARUFU MBAYA,MWENYE KIWANDA ARONGA-Septemba 21,2017

Kiwanda cha kupasulia magogo kilichopo kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi chenye zaidi ya wafanyakazi 20 hakina huduma ya choo.

ZITTO AREJEA NCHINI BAADA YA KUMJULIA HALI TUNDU LISSU,SASA AMESEM AHAYA HAPA MH.ZITTO-Septmba 18,2017

Image
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amefunguka na kudai amerudi nchini akiwa na unyenyekevu mkubwa zaidi kwa sababu ya nguvu na ujasiri alioonyeshwa na Mbunge Tundu Lissu pindi alipokwenda kumjulia hali katika hospitali ya Nairobi nchini Kenya.

ASKARI WAWILI WAHUKUMIWA JERA MIAKA 35-Septemba 18,2017

Image
Mahakama Kuu ya Tanzania imewahukumu askari Polisi wawili wa kutoka kituo cha Oysterbay jijini Dar es Salaam na watu wengine sita kwenda jela miaka 35 kwa makosa mawili ya kukutwa nyara za serikali na kujihusisha na mtandao wa ujangili.

WAKAZI WILAYANI MPANDA MKOANI KATAVI WATAKIWA KURIPOTI UKATIRI WA KIJNSIA-Septemba 18,2017

WANANCHI wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kufichua matukio ya ukatiri wa kijinsia yanayofanyika na kupelekea madhara kwa wanaotendewa.

JESHI LA POLISI WILAYANI MPANDA LAWATAKA WANANCHI KURIPOTI MATUKIO KWA WAKATI ILI KUDHIBITI UHARIFU-Septemba 18,2017

JESHI la polisi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi limewataka wananchi kushirikiana na jeshi hilo kuripoti kwa wakati matukio mbalimbali ya kiuharifu yanayoendelea kutokea wilayani Mpanda.