Posts

ZITTO AREJEA NCHINI BAADA YA KUMJULIA HALI TUNDU LISSU,SASA AMESEM AHAYA HAPA MH.ZITTO-Septmba 18,2017

Image
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amefunguka na kudai amerudi nchini akiwa na unyenyekevu mkubwa zaidi kwa sababu ya nguvu na ujasiri alioonyeshwa na Mbunge Tundu Lissu pindi alipokwenda kumjulia hali katika hospitali ya Nairobi nchini Kenya.

ASKARI WAWILI WAHUKUMIWA JERA MIAKA 35-Septemba 18,2017

Image
Mahakama Kuu ya Tanzania imewahukumu askari Polisi wawili wa kutoka kituo cha Oysterbay jijini Dar es Salaam na watu wengine sita kwenda jela miaka 35 kwa makosa mawili ya kukutwa nyara za serikali na kujihusisha na mtandao wa ujangili.

WAKAZI WILAYANI MPANDA MKOANI KATAVI WATAKIWA KURIPOTI UKATIRI WA KIJNSIA-Septemba 18,2017

WANANCHI wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kufichua matukio ya ukatiri wa kijinsia yanayofanyika na kupelekea madhara kwa wanaotendewa.

JESHI LA POLISI WILAYANI MPANDA LAWATAKA WANANCHI KURIPOTI MATUKIO KWA WAKATI ILI KUDHIBITI UHARIFU-Septemba 18,2017

JESHI la polisi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi limewataka wananchi kushirikiana na jeshi hilo kuripoti kwa wakati matukio mbalimbali ya kiuharifu yanayoendelea kutokea wilayani Mpanda.

NDOA ZA JINSIA MOJA ZAMFIKISHA MAHAKAMANI-Septemba 16,2017

Image
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Sharifu Issah maarufu kama Zamda Salumu Mkazi wa Manispaa ya Mtwara, amefikishwa mahakamani kwa kosa la kufanya vitendo vya utovu wa kimaadili kwa kujifanya mwanamke na kumshawishi mwanaume mwenzake kufunga ndoa.

MLIPUKO WA KIPINDUPINDU MBEYAWATU 8 WAFARIKI DUNIA 628 WAPATIKANA NA UGONJWA HUO-Septemba 16,2017

Image
DC Wilayani Mbarali Reuben Mfune Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya Mh.Reuben Mfune ameagiza bar zote,migahawa,vilabu vya pombe na grocery kufungwa kwa siku zisizojulikana kutokana na ugonjwa wa kipindupindu kuzidi kusambaa wilayani humo.

WAPENZI WA JINSIA MOJA WAKAMATWA ZANZIBAR-Septemba 16,2017

Mamlaka ya kisiwani Zanzibar imewakamata watu 20 wanaotuhumiwa kushiriki katika mapenzi ya jinsia moja.