Posts

WAKAZI KATAVI WALALAMIKIA MATUSI YA WAGUZI NA KUNYIMWA MATIBABU-Septemba 12,2017

Baadhi ya wakazi wa Kata ya Katumba Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi,wamewalalamikia baadhi ya wauguzi na madaktari wa kituo cha afya cha Katumba na Zahanati ya Kaminula kutokana na  lugha ya matusi kwa wagonjwa inayoambatana na kutopatiwa matibabu ipasavyo.

KATIBU MKUU CHADEMA AGOMA KUJISALIMISHA POLISI ILI AOHJIWE SAKATA LA TUNDU LISSU-Septemba 11,2017

Image
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji amesema hawezi kwenda kuripoti Polisi kama alivyotakiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto kwa kuwa hakuambiwa siku maalumu ya kwenda.

RAIS MAGUFULI AOGOPA KUPOKEA MAJINA YA WAFUNGWA WANAOTAKIWA KUNYONGWA-Septemba 11,2017

Image
Rais John Pombe Magufuli amesema kama rais anaogopa kusaini ili wanyongwe baadhi ya wafungwa ambao wamehukumiwa kunyongwa kutokana na makosa mbalimbali.

JAJI MKUU MPYA TANZANIA AAPISHWA RASMI-Septemba 11,2017

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuapisha Prof. Ibrahim Hamis Juma kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye amemteua kushika wadhifa huo Septemba 10, mwaka huu .

MJI WA NAMANYERE NKASI KUJENGEWA LAMI KABLA YA 2020-Septemba 11,2017

Image
SERIKALI imesema inatarajia kukamilisha ujezi wa barabara yenye urefu wa kilomita tano kwa kiwango cha lami Mjini Namanyere Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa kama iliyoaihidiwa na serikali wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015.

JUMUIYA YA KUHIFADHI TAMADUNI,MILA NA DESTURI ZA KITANZANIA KANDA YA ZIWA TANGANYIKA YAOMBA KUJENGEWA MAKUMBUSHO-Septemba 11,2017

Image
JUMUIYA ya kuhifadhi,kudumisha na kuendeleza mila na desturi za Tanzania katika ukanda wa ziwa Tanganyika, wameiomba serikali ya awamu ya Tano kusaidia ujenzi wa makumbusho yaliyopangwa kujengwa mkoani Katavi kama walivyoahidiwa na serikali ya awamu ya nne.

RC TABORA ATOA MWEZI MMOJA KIWANDA CHA KUZALISHA MAFUTA YA PAMBA KIWE KINAFANYA KAZI-Septemba 10,2017

Image
SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imetoa mwezi mmoja kwa wamiliki wa Kiwanda cha Pamba cha Manonga kuhakikisha wamekikarabati ili kiweze kuanza tena uzalishaji wa mafuta ya pamba na uchambuzi wa Pamba na kutengeneza ajira kwa vijana mkoani hapo.