EKARI 100 ZATENGWA MKOANI RUKWA KWA AJILI YA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA-Septemba 7,2017
Aliyesimama ni Mh. Bupe Mwakang'ata Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa imetenga eneo lenye ukubwa wa ekari 100 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya.