Posts

BODABODA KATAVI WAAGIZWA KUWAPA KOFIA NGUMU ABIRIA WAO-Julai 18,2017

Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoa wa Katavi John Mfinaga amewaagiza madereva piki piki maarufu kama boda boda kutii sheria ya matumizi ya kofia ngumu kwa abiria.

MADEREVA WA MAROLI MKOANI KATAVI WAGOMA KUONDOKA UWANJA WA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MPANDA

MADEREVA  wanaoegesha magari katika uwanja wa shule ya msingi Mpanda iliyopo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda wamegoma  kutii agizo la kuondoka katika eneo hilo.

WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KATAVI WASALIMU AMRI YA SERIKALI,WAKUBALI KUNUNUA MASHINE ZA EFDs-Julai 17,2017

Image
WAMILIKI wa vituo vitano vya mafuta ya Petrol,Dizel na Mafuta ya taa Mkoani Katavi,wametii agizo la serikali linalowataka kununua mashine za kielektroniks(EFDs).

WAKAZI MTAA WA MSASANI MKOANI KATAVI WAONGEZEWA MUDA WA KUONDOKA KUPISHA HIFADHI YA RELI MPANDA-Julai 14,2017

WAKAZI wa mitaa ya Msasani na Tambukareli Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wameongezewa miezi sita badala ya siku 30 walizokuwa wamepewa ili wawe wameondoka ndani ya mipaka ya hifadhi ya Reli.

BABU NA MJUKU WAKE MKOANI KATAVI WALIPUKIWA NA MOTO WA NYAYA ZA KUPASULIA MIAMBA-Julai 13,2017

WATU wawili akiwemo mtoto mwenye umri wa miaka miwili na nusu wakazi wa Mtaa wa Nsemulwa Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wamefikishwa katika hospitali ya Manispaa ya Mpanda,baada ya leo kutokea mlipuko na kujeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao.

WAKAZI WA INYONGA WILAYANI MLELE WAENDELEA KULIA NA TATIZO LA UKOSEFU WA UMEME-Julai 11,2017

Image
WAKAZI wa Kata ya Inyonga Wilayani Mlele Mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwapelekea umeme wa uhakika ili kuchochea maendeleo ya wakazi wa eneo hilo.

WAKAZI WILAYANI MLELE WATAKA MIFUGO IDHIBITIWE KULINDA MAZINGIRA-Julai 11,2017

WAKAZI wa mtaa wa Katandala kata ya Majimoto Mkoani Katavi,wameuomba uongozi kushughulikia uzururaji holela wa mifugo.