Posts

AFISA MTENDAJI WA KIJIJI APEWA WIKI MBILI KUWAONDOA WAKAZI WALIOVAMIA MISITU NA KUFANYA MAKAZI,MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA PIA AZUNGUMZIA ZIARA YA WAZIRI MKUU KATIKA WILAYA YAKE

Na.Issack Gerald Bathromeo MKUU wa wilaya ya Tanganyika Saleh Muhando ametoa wiki mbili kwa Afisa mtendaji wa kijiji cha Mpembe kata ya Katuma kuhakikisha anawaondoa wananchi waliovamia misitu na   kufanya makazi.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUANZA ZIARA KATAVI JUMAMOSI HII,KUTEMBELEA MAJIMBO YOTE MATANO YA MKOA WA KATAVI,SEHEMU YA RATIBA P5 TANZANIA IMEKUSOGEZEA HII HAPA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa anatarajia kuanza ziara ya kikazi Mkoani Katavi. Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa                                        

HALMSHAURI ZA WILAYA YA MPANDA NA TANGANYIKA ZATAKIWA KUTENGA 5% YA MAPATO KWA AJILI YA WAJASILIMALI VIJANA

Image
Na.Richard Mbeho-Mpanda HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda na Tanganyika zimetakiwa   kutenga asilimia 5 za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwasaidia vijana kuanzisha miradi mbalimbali itakayo wawezesha kujikwamua kiuchumi. Baadhi ya vijana Wilaya za Tanganyika na Mpanda wakiwa kati mikutano ya hadhara(PICHA NA.Issack Gerald)                                                         

WAJASILIMALI KATAVI WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YA UJASILIMALI WANAYOPATA KUFANYA SHUGHULI ZA MAENDELEO KUJIKWAMUA KIMAISHA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda WAJASILIAMALI wametakiwa kutumia elimu ya ujasiliamali wanayopewa katika mafunzo ili kujikwamua kimaisha. Wajasilimali wanawake baada ya somo la mafunzo ya ujasiliamali(PICH ANA.Issack Gerald)                                               

WANNE MBARONI KWA UUZAJI WA GONGO NA BANGI KATAVI

WATU wanne mkoani Katavi wamekamatwa kwa makosa tofauti likiwemo la uuzaji wa Gongo   na debe moja la Bangi.

NAIBU WAZIRI JAFO AZINDUA MRADI WA MAJI NSIMBO WILAYANI MLELE

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Naibu  Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa(Tamisemi), Mh.Selemani Jafo akiwa na mwenyeji wake Mbunge wa Jimbo la Nsimbo  Richard Mbogo amezindua mradi mkubwa wa maji Katika kijiji cha mwenge.