Posts

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO LAFANYA KIKAO CHA MWISHO KUHITIMISHA MWAKA WA FEDHA 2015/2016,MWENYEKITI WA HALMASHAURI ATOA NENO KWA MADIWANI.

Na.Judica Schone-Nsimbo Madiwani wa baraza la Madiwani Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo na viongozi wa halmsahauri hiyo waliopewa dhamana ya kukusanya mapato katika halmashauri hiyo,wametakiwa kusimamia zoezi la ukuasanyaji wa mapato ili kutumika kwa mujibu wa bajeti.

WAZIRI MASHA NA WENZAKE 9 WASHINDA KESI MAHAKAMA YA WILAYA YA MPANDA,KATIBU CHADEMA WILAYA YA MPANDA ASISITIZA KUANZISHA MASHTAKA DHIDI YA WALIOWASUMBUA.

Image
NA.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Aliyecchuchumaa chini ni Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh.Lawreance Masha(PICHA NA.Issack Gerald Katavi Mahakama ya Wilaya ya Mpanda jana imewaachia huru washtakiwa 10 akiwemo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana Mwanza Mh.Lawrence Kego Masha baada ya mahakama kutowakuta na hatia katika makosa waliyokuwa wakishtakiwa.             

LEO WAZIRI MKUU PINDA MGENI RASMI TUZO ZA WALIMU KATAVI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo        Leo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda inatarajia kutoa tuzo za kuwapongeza walimu wa shule za msingi zilizopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi baada ya kufaulisha Wanafunzi kwa ufaulu wa asilimia 90 hadi 97 kwa mwaka 2014 na 2015 na kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfululizo kwa kufaulisha wanafunzi. Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Mh.Mizengo Kayanza Peter Pinda(PICHA NA.Issack Gerald    

WAFANYABIASHARA WAILALAMIKIA SERIKALI KUWAZUIA KUTEKELEZA HAPA KAZI TU,WANGOA MABANGO USIKU WA MANANE WAKIPINGA KUFUKUZWA ENEO LA KIBIASHARA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Wafanyabiashara wadogo waliopo genge la kufanyia biashara lililopo Mtaa na Kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamikia uongozi wa serikali ya Mtaa,kata ya Mpanda Hotel na Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kwa kutowapatia eneo maalumu la kufanyia biashara huku wakifukuzwa katika kila eneo wanalokwenda kufanyia biasahara. Bango lililong'olewa na kutupwa kusikojulikana katika genge la biashara lililopo mtaa na kata ya Mpanda hotel lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald)                                   Wafanyabiasahara wadogo wakiwa katika genge wakiuza bidhaa zao katika genge lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald) Genge jipya eneo la mtaa wa  Mpanda ana Kata ya Mpanda Hotel lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald)              ...

MIRADI 71 ILIZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU MKOANI KATAVI

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Jumla ya Miradi 71 ya maendeleo ilizinduliwa katika Mkoa wa Katavi huku baadhi ya miradi hiyo ikiwa katika sekta ya elimu,kupambana na rushwa,ujenzi wa Miundombinu ya barabara na afya.

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA MKOANI WAKATI WA HAFLA YA KUPOKEA MADAWATI UWANJA WA SHULE YA MSINGI KASHAULILI

Image
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga katika viwanja vya shule ya msingi Kashaulili akikabidhi msaada wa madawati 327(146 Mbunge viti maalumu Mh.Anna Lupembe na 181 mbunge Mpanda Mjini Mh.Sebastian Kapufi).Pia Mbunge Anna Lupembe alitoa msaada wa Shilingi Milioni 4 kwa vikundi 40 vya wajasiliamali wanawake Manispaa ya Mpanda na Baiskeli tatu za walemavu.Jumla Mh.Lupembe alichangia vitu vya thamani ya milioni 10 ukiondoa milioni 4 za wajasiliamali(PICHA ZOTE NA.Issack Gerald) Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga akiwa mgeni rasmi akikabidhiwa madawati 327 kutoka kwa wabunge Mh.Anna Lupembe(viti maalumu Katavi) na Sebastian Simon Kapufi(Mbunge Mpanda Mjini),pia mabati yenye thamani ya shilingi milioni mbili.Wa kwanza Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda Mh.Willium Mbogo na wakwanza kushoto ni Mh.Anna Lupembe mbunge viti maalumu Katavi(PICHA NA.Issack Gerald)Julai 26,2016 Wa pili kutoka Kushoto(m...

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 70 CHACHANGWA UANZISHWAJI BENKI YA WANANCHI KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA APIGIA DEBE WANAWAKE KUPEWA KIPAUMBELE KATIKA BENKI HIYO.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Zaidi ya shilingi Milioni 70 zimechangwa na wadau wa maendeleo Mkoani Katavi kwa ajili ya kuanzisha BENKI YA WANANCHI MKOANI KATAVI. Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya NNE(wa kwanza kulia mwenye shati nyeupe) akiwa katika mkutano wa uanzishwaji wa benki ya wananchi Katavi(PICHA NA.Issack Gerald