Posts

SIKILIZA SAUTI YA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWAAPISHA WAKURUGENZI HALMASHAURI ZA WILAYA,MIJI,MANISPAA NA MAJIJI JULAI 12,2016

WAKATI Rais John Pombe Magufuli akiwaapisha wakurugenzi alitamka haya                                                                             

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA MPANGO WA UGAWAJI MADAWATI,MKOA WA KATAVI KATIKA MGAO AWAMU YA KWANZA

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezindua mpango wa ugawaji wa madawati yanayotengenezwa kutokana na fedha zilizotolewa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kubana matumizi katika bajeti yake.                          

WAKAZI KIJIJI CHA KAKESE MANISPAA YA MPANDA WAELMISHWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Image
WAKAZI wa kijiji cha Mbugani kata ya Kakese Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameaswa kutunza vyanzo vya maji vilivyopo bonde la Mto Mpanda. Picha na p5 tanzania                                                     Picha na P5 tanzania                                                    

MIRADI 9 YAZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU MANISPAA YA MPANDA

Image
ZAIDI ya miradi 9 ikiwemo Stendi Mpya ya kisasa ya mabasi katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imezinduliwa leo. Vijana wakimbiza mwenge wa uhuru(PICHA NA Issack Gerald)                                       

MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA MBIYO ZAKE WILAYANI MLELE WAZINDUA MIRADI,WAPOKELEWA MANISPAA YA MPANDA

Image
WAKAZI wa tarafa ya Inyonga Wilayani Mlele Mkoani Katavi,wametakiwa kutoziharibu barabara za mitaani katika tarafa hiyo zilizotengenezwa kwa kiwango cha lami.                              

POLISI WAKAMATA PEMBE ZA NDOVU 666.

Image
Polisi wa Tanzania wamekamata pembe 666 za ndovu zenye uzani wa tani 1.2 zenye thamani ya shilingi biloni 4.6 pesa za Tanzania sawa na dola milioni 1.2.                            

AHUKUMIWA MIEZI 9 AKIDAIWA KUTOROKA AKIWA CHINI YA ULINZI WA JESHI LA POLISI WILAYANI MPANDA

Image
Mahakama ya mwanzo mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja mkazi wa kata ya Misunkumilo kifungo cha miezi tisa jela kwa kosa la kutoroka akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi.