Posts

WATUHUMIWA WAWILI KATAVI AKIWEMO MCHUNGAJI KANISA LA MORAVIAN MBARONI KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO YAKIWA YAMEHIFADHIWA KANISANI.

JESHI la Polisi mkoa wa Katavi linawashikilia watu wawili akiwemo mchungaji wa kanisa la Moravian Usevya mkoani Katavi kwa kosa la kukutwa na vipande 11 vya meno ya Tembo vyenye uzito wa kilogram 20.3.

VIKUNDI 4 KATI YA 28 VYA WAJASILIAMALIVILIVYOPO KATA YA NSEMULWA MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVI VIMEKABIDHIWA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 1 KUTOKA MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA JIMBO LA MPANDA MJINI.

Vikundi 4 kati ya 28 vya wajasiliamali vilivyopo kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,leo vimekabidhiwa mkopo kwa Shilingi milioni Moja kwa ajili kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

IDADI YA WATUMISHI HEWA YAZIDI KUPANDA KATAVI KUTOA 21 MWEZI ULIPOITA SASA 46 SERIKALI YAPATA HASARA ZAIDI YA MILIONI 200,MKUU WA MKOA WA KATAVI ATOA SIKU SABA KWA MKURUGENZI KUWAFUKUZA KAZI WATUMISHI HEWA

IDADI ya Watumishi hewa Mkoani Katavi imeongezeka Kutoka 21 ya awali na kufikia watumishi hewa 46 walioisababishia Serikali hasara ya Shilingi Milioni 200,792,448.

SHILINGI MIL.1 YA MKOPO YATOLEWA NA MBUNGE JIMBO LA MPANDA MJINI KWA VIKUNDI 4 VYA WAJASILIAMALI KATA YA NSEMULWA MANISPAA YA MPANDA

Vikundi 4 kati ya 28 vya wajasiliamali vilivyopo kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,leo vimekabidhiwa mkopo kwa Shilingi milioni Moja kwa ajili kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

WALIMU WAGOMA KUFUNDISHA WAKIPINGA MWALIMU MWENZAO KUPIGWA NA AFISA ELIMU,CWT KUTOA TAMKO LEO

WALIMU wa shule ya msingi Kianda wameanza mgomo wa siku mbili wa kutofundisha shuleni hapo huku wakilaani kitendo cha Ofisa Elimu (Shule za Msingi) wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Peter Fusi kumshambulia na kumpiga makofi mwalimu mwenzao akiwa darasani mbele ya wanafunzi wake.

WANAKIJIJI KASOKOLA MKOANI KATAVI WAKATAA TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI,KUSOMWA UPYA MEI 12 MWAKA HUU.

Wananchi wa kijiji cha kasokola kata ya kasokola manispaa ya mpanda wameikataa taarifa ya mapato na matumizi iliyosomwa   katika mkutano wa hadhara ambapo haijasomwa takribani mwaka mmoja na miezi mine.

WIKI YA WAUGUZI MKOANI KATAVI YAZINDULIWA WAGONJWA KUPATIWA MATIBABU BILA MALIPO HADI MEI 12 KILELE CHA MAADHIMISHO

WAUGUZI na Madaktari Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametiwa moyo wa kufanya kazi kwa bidii na kupuuzia maneno na vitendo vya watu wanaowakatisha tamaa ya kufanya kazi za utoaji huduma ya afya kwa ufanisi.