Posts

MATUKIO MAKUU 11 YA WIKI YALIYOTOKEA NDANI NA NJE YA KATAVI APRILI 4-9,2016

Image
WAZIRI NAPE AFUTA KAREFA,AMWAGIZA KATIBU TAWALA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA VIONGOZI UPYA MPANDA-APRILI 04 WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemuagiza katibu tawala wa mkoa wa Katavi Bw Paul Chagonja kufuta uongozi wa mpira wa miguu KAREFA na kusimamia zoezi la uchaguzi wa viongozi wapya baada ya kufuta uliokuwepo.

AJALI ZITOKANAZO NA VYOMBO VYA MOTO KATAVI ZAPUNGUA.

Na.Issack Gerald-Katavi KIKOSI cha usalama   barabani Mkoani katavi kimesema kimefanikiwa   kupunguza ajali za barabani kwa kutumia kifaa maalum cha kupima mwendo kasi.

RC KATAVI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA WILAYA MPANDA,ASEMA SERIKALI IMETENGA BIL.2 KUTUMIKA UJENZI HOSPITALI YA MKOA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WAGONJWA.

Na.Vumilia Abel-Katavi MKUU wa mkoa Meja Jeneral Raphael Muhuga amefanya ziara ya kuitembelea hospitali ya wilaya ya Mpanda kwa lengo la kutazama changamoto zinazoikabili hospitali hiyo.

WAZIRI NAPE AFUTA KAREFA,AMWAGIZA KATIBU TAWALA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA VIONGOZI UPYA

Na.Issack Gerald-Katavi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemuagiza katibu tawala wa mkoa wa Katavi Bw Paul Chagonja kufuta uongozi wa mpira wa miguu KAREFA na kusimamia zoezi la uchaguzi wa viongozi wapya baada ya kufuta uliokuwepo.

MTOTO MWENYE ULEMAVU WA VIUNGO ATUNZWA NDANI YA NYUMBA MIAKA MIWILI BILA HATA YA KUPATA MAHITAJI YA MSINGI

Na.Issack Gerald-Katavi Taarifa iliyopatikana Aprili mosi mwaka huu ni yan mtoto mmoja   mwenye ulemavu wa viungo   katika manispaa ya Mpanda mkoani katavi ambaye amekuwa akifungiwa ndani kwa muda wa miaka miwili na kukosa haki zake za msingi kama elimu wakati mwingine hata chakula.

RIPOTI WATUMISHI HEWA-BAADHI YA WAKAZI KATAVI WALONGA

Baadhi ya wakazi katika Mkoa wa Katavi wameeleza tukio la uhakiki wa watumishi hewa kuwa suala kubwa ambalo limefanywa na Magufuli licha ya kuwa yapo mengi ambayo ameyafanya na kusema kuwa ni suala ambalo watanzania hawatalisahau kutokana na nguvu ya kauli ya Rais John Pombe Magufuli.

MGOGORO WA ENEO LA UCHIMBAJI MADINI MTAA WAELEKEA PAZURI

Na.Issack Gerald-Mpanda Mkuu wa wilaya ya Mpanda Paza Mwamlima amesema mgogoro wa ardhi katika eneo la machimbo ya kokoto na madini aina ya dhahabu uliopo katika kijiji cha Kampuni   unatafutiwa ufumbuzi.