Posts

HOTUBA YA MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA PILI WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 5 FEBRUARI, 2016

Image
Na.Issack Gerald - Dodoma HOTUBA YA MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA PILI WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 5 FEBRUARI, 2016 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiahirisha mkutano wa pili wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bunge la 11 mjini Dodoma leo hadi Aprili 19 2016 utakapofanyika mkutano mwingine

PICHA ZA SIKU YA SHERIA DUNIANI MKOANI KATAVI

Image
Picha ya pamoja watumishi wa mahakama na wadau wengine wa sheria,wa tatu kutoka (kushoto) waliokaa ni mgeni rasmi wa sherehe hizo ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Yahya Hussein akimwakilisha Mkuu wa Mkoa na Mwanake pekee katika Picha ni Farhat Seif wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoani Katavi(PICHA na Issack Gerald) Picha ya pamoja watumishi wa mahakama na wadau wengine wa sheria,wa tatu kutoka (kushoto) ni mgeni rasmi wa sherehe hizo ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Yahya Hussein akimwakilisha Mkuu wa Mkoa na Mwanake pekee katika Picha ni Farhat Seif wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoani Katavi(PICHA na Issack Gerald) Picha ya pamoja watumishi wa mahakama na wadau wengine wa sheria,wa tatu kutoka (kushoto) ni mgeni rasmi wa sherehe hizo ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Yahya Hussein akimwakilisha Mkuu wa Mkoa na Mwanake pekee katika Picha ni Farhat Seif wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoani Katavi(PICHA na Issack Gerald) Vijana wa sarakasi...

KUJENGWA MAHAKAMA KATIKA MAKAZI MAPYA YA KATUMBA NA MISHAMO KATAVI KWAPUNGUZA UHARIFU

Na.Issack Gerald-Mpanda Kujengwa kwa mahakama ya mwanzo katika eneo la makazi ya Mishamo na Katumba kumepunguza kiwango cha uharifu ambao umekuwa ujitokeza katika makazi hayo.

ASASI ZA BINAFSI ZA KIRAIA NA SERIKALI ZAAGIZWA KUELIMISHA JAMII MASUALA YA SHERIA KATAVI,RAIS MAGUFULI NAYE ATOA AGIZO KALI DAR,MAHAKAMA YA MAFISADI KUJENGWA MWAKA HUU

Image
Na.Issack Gerald- Katavi Asasi za kiraia na zile za serikali zikiwemo vyombo vya habari, wanaharakati wa haki za binadamu wametakiwa kushirikiana kwa pamoja kuelimisha jamii juu ya kanuni zinazotumika kushughulikia kudai haki za madai na jinai kwa mjibu wa kanuni na sheria hapa nchini.                                             

WABUNGE KATAVI WACHACHAMALIA MAJI,UMEME BARABARA

Na.Issack Gerald-Bungeni Dodoma (Kuhusu Katavi). SERIKALI imeanza mikakati ya kukamilisha miradi ya maji   ili wananchi wapate maji kama ilivyo kusudiwa.

MWANAFUNZI SHULE YA MSINGI AFA MAJI MPANDA

Na.Issack Gerald-Mpanda Mwanafunzi shule ya msingi Kashato aliyejulikana kwa jina la Julius Justin Albano(12) mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Kashato amekufa maji akiwa anavua samaki katika mto Mpanda maeneo ya Kigamboni.

MBUNGE JIMBO LA NKASI KUSINI ATAKA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA JIMBONI KWAKE,SERIKALI YAMJIBU

Image
Na.Issack Gerald-Dodoma kuhusu (Rukwa) SERIKALI imesema mwaka wa fedha 2015/2016 ilitenga Shillingi million 300 kwa ajili matengenezo na ujenzi wa Barabara ya Kitosi- Wampembe katika Wilaya ya Nkasi Mkoa wa Rukwa kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) ili kufanya Barabara hiyo iweze kupitika katika kipindi chote cha mwaka.