Posts

WAKULIMA,WAFUGAJI MPANDA WATOA MAONI KUHUSU SHEREHE ZA NANENANE

NA.Issack Gerald-Mpanda SIKU mbili baada ya maonesho ya kilimo na ufugaji   maarufu kama nane nane, baadhi ya wakulima   pamoja na wafugaji Mkoani Katavi wametoa maoni na mapendekezo kuhusu sekta ya kilimo.

UHAKIKI DAFTARI LA MPIGA KURA NSIMBO WAFANYIKA

NA. Agness Mnub- KATAVI ZOEZI la Kuhakiki taarifa katika daftari la Kudumu la Mpiga Kura limeanza Katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi Kufuatia Tangazo lililotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi juu ya Zoezi hilo.

WANASIASA KIKWAZO UTEKELEZAJI AGIZO LA MKURUGENZI

NA. Alinanuswe Edward-Katavi Wanasiasa wamedaiwa kuchangia kukwamisha utekelezaji   wa agizo la Manispaa ya mpanda lilitolewa mwishoni mwa mwezi mei likiwataka watu wote wanwanaosafisha magari yao katika mto misunkumilo kuacha mara moja.

BREAKING NEWS- IGP ERNEST MANGU KUWASILI MKOANI KATAVI LEO AGOSTI 09 KWA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI KATAVI

Image
IGP Ernest Mangu NA.Issack Gerald-Katavi Mkuu wa jeshi la polisi Tanzania anatarajia kuwasili mkoani katavi leo Agosti 09 kwa ziara ya kikazi. Akiwa katika zaiara jioni atakula chakula cha pamoja na wadau wa masuala ya ulinzi >>>>>>>>>>Endelea kuwa nami kufahamu kila kitakachojili<<<<<<<<<<<<<

PITIA VICHWA VYA MAGAZETI LEO AGOSTI 08,2015 UPATE HABARI KUBWA TANAZANIA NA NJE YA TANZANIA

Image

UVAMIZI OFISI ZA CCM SUMBAWANGA RUKWA,SAMANI ZA MWENYEKITI VYATUPWA NJE

Na.Mwandisi wetu-SUMBAWANGA. Baadhi ya wakazi wa manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa chama cha Mapinduzi, juzi wameivamia ofisi ya chama hicho ya wilaya ya Sumbawanga mjini.

IGP MANGU ZIARANI KATAVI KESHO NA KESHO KUTWA

Image
Mkuu wa Jeshi  la polisi Tanzania IGP Ernset Mangu Na.Issack Gerald-Katavi MKUU wa jeshi la polisi nchini Inspekta Jenerali Ernest Mangu anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Katavi kuanzia tarehe 9 hadi 11 mwezi huu. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Katavi,ASP. Dhahiri Kidavashari, imesema kuwa katika siku ya kwanza ya ziara hiyo, IGP Ernest Mangu,  atakuwa na fursa ya kuzungumza na wadau mbali mbali katika hoteli ya Lyamba Lya Mfipa majira ya jioni. Katika hafla hiyo waalikwa watapata chakula cha jioni pamoja na Inspekta Jenerali wa polisi hapa nchini.