Posts

USALAMA KAMBI YA WAKIMBIZI KATUMBA RAIA WAPYA TANZANIA YAENDELEA KUIMARIKA

Image
Na.Issack Gerald-Nsimbo Katavi HALI YA USALAMA imeendelea   kuimarishwa zaidi katika kambi ya wakimbizi ya Katumba iliyopo Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi.

BALAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO MKOANI KATAVI LAVUNJWA

Image
  Na.Issack Gerald-Nsimbo,Katavi BARAZA la Madiwani Katika halmashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi  limevunjwa jana kwa Mjibu wa kanuni za baraza hilo ambalo humaliza muda wake wa kuwa   madarakani Kila baada ya Kipindi cha Miaka mitano.

ASKARI 15 KATAVI WATUNUKIWA VYETI VYA HESHIMA POLICE FAMILY DAY,WAPANGA MIKAKATI YA KUKOMESHA UHARIFU

Na.Lutakilwa-Lutobeka-Katavi MAAFISA 15 wa jeshi la polisi mkoani Katavi wametunukiwa vyeti maalum vya utendaji kazi katika maadhimisho ya siku ya polisi yaliyofanyika leo mjini Mpanda.

NSIMBO YAKUBALI KUJENGA SEKONDARI URUWIRA

Image
Na Alinanuswe  Edward Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi imeridhia kuanza ujenzi wa shule ya sekondari ya kata katika kata ya Uruwira