Posts

ASKARI 15 KATAVI WATUNUKIWA VYETI VYA HESHIMA POLICE FAMILY DAY,WAPANGA MIKAKATI YA KUKOMESHA UHARIFU

Na.Lutakilwa-Lutobeka-Katavi MAAFISA 15 wa jeshi la polisi mkoani Katavi wametunukiwa vyeti maalum vya utendaji kazi katika maadhimisho ya siku ya polisi yaliyofanyika leo mjini Mpanda.

NSIMBO YAKUBALI KUJENGA SEKONDARI URUWIRA

Image
Na Alinanuswe  Edward Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi imeridhia kuanza ujenzi wa shule ya sekondari ya kata katika kata ya Uruwira